Saturday 6 July 2013

MICHUANO YA KOMBE LA KAGASHEKI YAANZA LEO HII KWENYE UWANJA WA KAITABA BUKOBA. TIMU YA HAMUGEMBE IKITANDIKWA NA BAKOBA BAO 1-0

Balozi Khamis Kagasheki  akisalimiana na wachezaji muda mfupi kabla ya mtanange kuanza
Balozi Khamis Kagasheki  ndiye anadhamini mashindano haya na hapa akisalimiana na wachezaji




Kikosi cha Timu ya Hamugembe
Kikosi cha timu ya Bakoba
Waamuzi wa mchezo huu wa Bakoba na timu ya Hamugembe
Wachezaji wa Hamugembe wakishangilia kwenda kuanza kandanda
Mchezo ukaanza kati

Wadau wakifatilia mechi hii ya ufunguzi leo hii kwenye uwanja wa Kaitaba



Furaha ikatanda uwanjani Kaitaba baada ya timu ya Bakoba kufunga bao

No comments:

Post a Comment