Friday 21 February 2014

JUSTIN AUGUSTIN NA EMIRIANA ABDALLAH WAFUNGA NDOA 21-2-2014

 Ni vijimambo ukumbini
 Bw harusi na Bi harusi wakitabasamu
 Wageni waalikwa waliitikia wito kweli
 Bw na  Bi Richard kwitega wakifurahia harusi
 Wazazi upande wa Bi harusi
 Wazazi upande wa Bw harusi
 Kijana Nelson akipata kinywaji
 Justin kijana mcheshi, wengi wanamjua kama Fundi umeme makini
 Ni staili ya tu
 Konyagi na safari, badae inakua hivi....
 Mzuka ukipanda
Ongera maharusi

No comments:

Post a Comment