Friday 21 February 2014

ASUBUHI YA LEO NDANI YA JAMCOBARBER SHOP,WADAU WAKIFANYA USAFI KUELEKEA KWENYE HARUSI YA OCD WA KINONDONI WILBROD MUTAFUNGWA ANAEFUNGA NDOA LEO

 Bw Alan akiwa Bushira wakifanyiwa usafi
 Bw Basibila aliesimama ndie mratibu wa shughuli nzima kwa Bukoba mjini akiwa na Bw Bushira wakiwa Jamcobarber shop
 Bw Alan akifanyiwa scrub
Tutawaletea badae kinachojili kanisani na sherehe itakayofanyika nyumbani kwao Bugandika na badae katika ukumbi wa Lina's

No comments:

Post a Comment