Tuesday 18 February 2014

KAMPUNI YA EDCAT INTERNATONAL LTD YAKABIDHI JENGO LA HAZINA BUKOBA BAADA YA KUKAMILISHA UKARABATI

 Huu ndio muonekano wa jengo la Hazina Bukoba lililofanyiwa ukarabati na kampuni ya EDICAT INTERNATIONAL LTD, jengo hili lipo mtaa wa kawawa Manispaa ya Bukoba,na kipindi cha mwanzo mamlaka wa mapato(TRA BUKOBA) walitumia jengo hili.
 Maeneo ya ndani
 Sehemu ya juu
 Mkurugenzi mtendaji wa Edicat International Ltd Bw  Edger Rutaraka,Bw Ezra Msanya kutoka wizara ya fedha makao makuu na Mrs Mary Mushobozi mkurugenzi wa fedha Edicat International wakiteta jambo kabla ya  makabidhiano ya jengo
 Ukaguzi wa jengo ukiendelea
 Bw Edger Rutaraka akitoa maelezo kwa Bw Mcharo , mkaguzi mkuu wa ndani(wizara ya fedha)
 Bw Kilo (mkurugenzi wa ushauri wakala wa majengo ya serikali akikagua jengo
 Utepe ukakatwa kuashiria  kukubali kupokea jengo rasmi
 Kweli jengo limependeza....
 Baada ya kazi, ni kujipongeza
 Ongera mama kwa kazi nzuri
 Mrs Mary Mushobozi akiwa na furaha kwa kukabidhi jengo
Bw Edger Rutaraka akiwa na wahudumu waliokuwa katika vitengo tofauti kipindi chote cha ukarabati

No comments:

Post a Comment