Sunday 16 February 2014

JUMUIA YA KASIBANTE REDIO 88.5 BUKOBA YAANDAA MLO WA MCHANA. WATOTO YATIMA NA WALEMAVU WA VIUNGO SIKU YA VALENTINE NA KUWAZAWADIA MAHITAJI MUHIMU

 Ni picha ya pamoja ya wafanyakazi wa jumuia ya Kasibante Redio waliondaa mlo wa mchana kwa ajili ya watoto yatima na walemavu wa viungo zaidi ya watoto 300 wakiwa na mliki wa Redio hiyo Balozi Kagasheki ambae alikuwa mgeni rasmi siku ya Valentine
 Watoto kutoka Mugeza mseto, walemavu wa ngozi na macho
 Matron wa watoto Mugeza mseto akiwa na mtoto mdogo mwenye umri wa mwaka mmoja mlemavu wa ngozi alieletwa na mama yake akiwa na umri wa miezi minne akamuacha shuleni hapo  mpaka sasa mama huyo hakuwahi kurudi kumuona mtoto huyu , na hamjui mama yake , matroni huyu mtoto ndio anamtambua kama mama yake, mama wa mtoto huyu inasemekana anaishi  Karangwe alimleta mtoto huyu kwa ajili ya kuokoa maisha yake asiuwawe,baada ya kumkabidhi ni miezi minane sasa hakuwahi kurudi .
 Hawa ni watoto viziwi nao walishiriki mlo
 Kikundi cha ngoma cha rugoloire kilitumbuiza watoto na wageni walioudhulia
 Ni baadhi ya zawadi mbalimbali ambazo zimekusanywa na jumuia ya Kasibante Redio kutoka kwa wadau mbalimbali kwa ajili ya kusaidia mahitaji ya watoto
 Mcungaji James akiombea chakula
 Mzee Rwangisa na mgeni rasmi wakipata chakula
 Watoto wakipata chakula
 Mtoto huyo ni mlemavu wa macho  baada ya kushiba akapumzika kidogo
 Mama na mwana
 Mkurugenzi wa Kasibante Redio Richard Leo akitoa neno na madhumuni ya kuandaa mlo wa mchana na watoto yatima na walemavu,lakini pia alieleza kuwa utakuwa ni mwendelezo wa kila mwaka kusherekea valentaine kwa staili hii
 Mdau Paschazia Barongo nae alishiriki
 Mgeni rasmi Balozi Kagasheki akitoa neno la shukrani kwa wate waliochangia kwa hali na mali kuwakumbuka viumbe wa mwenyezi mungu wenye ulemavu wa viungo na watoto wanaoishi katika mazingira magumu,katoa wito kwa jamii nzima kuwajari na kusaidia watoto wenye mahitaji.
 Bw Kabantega
 Binti huyu hana mikono yake yote miwili, anakula kwa kutumia miguu
 Cheza twist...
 Chezeee Richard na Jane weweeee
 Maka chiiiiniii Tofauuu
 Kijana Bale
 Picha ya pamoja
Balozi Kagasheki akiongea na watato  wanaoishi katika mazingira magumu aliokutana nao nje ya jengo la Kasibante Redio wakati akiondoka eneo hilo

No comments:

Post a Comment