Thursday 7 November 2013

*DJ RANKEEM RAMADHAN AZIKWA JIJINI DAR LEO


Waumini wa Kiislam na Wadau mbali mbali wakishirikiana kubeba mwili wa Marehemu RanKeem Ramadhan wakati wa Safari yake ya Mwisho kuelekea kwenye makaburi ya Sinza, Jijini Dar es Salaam jioni hii.
Waumini wa Kiislam na Wadau mbali mbali wakiwa wamekusanyika kwenye mazishi ya Marehemu RanKeem Ramadhan yaliyofanyka kwenye makaburi ya Sinza, Jijini Dar es Salaam jioni hii.
Mwili wa Marehemu RanKeem Ramadhan ukifikishwa kwenye Nyumba yake ya Milele. Mungu iweke roho ya marehemu Rankeem Ramadhan,mahali pepa peponi Amina.

No comments:

Post a Comment