Friday 8 November 2013

Daktari mstaafu hosptali ya Mawenzi akamatwa kujihusisha na utoaji Mimba.



 

 Askari polisi wakiwa na silaha wakiwa wamezingira nyumba iliyokuwa
ikitumika kwa shughuli za kutolea Mimba.
  Daktari mstaafu wa hosptali ya rufaa ya Mawenzi Frances Shayo akiwa
mikononi mwa polisi muda mfupi baada ya kumkamata akitaka kuwatoa
mimba wasichana wawili.

No comments:

Post a Comment