Thursday 17 July 2014

WEMA AFUTURISHA NYUMBANI KWAKE, AITA WAKWE, MAWIFI ZAKE


MSANII wa filamu bongo Wema Sepetu amefuturisha  nyumbani kwake Kijitonyama jana jioni.
Wema akishukuru baada ya dua.
Diamond akiwa katika dua.
Baadhi ya futari.
Baadhi ya wahudhuriaji wakiendelea kufuturu.
Baadhi ya wahudhuriaji akiwemo meneja wake Diamond, Babu Tale, wakimalizia futari.
Baada ya kufuturu wakibadilisha mawazo.
Wema akiwa na mawifi zake
Wema akiwa na mkwe wake pamoja na shosti yake Aunt Ezekiel.
Wema akideka kwa mkwe wake mama Diamond.

No comments:

Post a Comment