Tuesday 29 April 2014

IBADA YA MISA YA KUMALIZA MATANGA YA MAREHEMU DATUS BUBERWA NYAMWIHURA

 Baba Paroko akinukuu mistari kwenye biblia
 Baba Askofu msaidizi wa jimbo la Bukoba Methodius Kilain ni miongoni mwa wageni walioshiriki ibada
 Kwaya
 Wageni mbalimbali walioudhuria ibaya ya kumaliza matanga
 ENEO LA KABURI LA MAREHEMU DATUS
 Busara na hekima zimejaa kwa baba Askofu Kilaini
Dada  wa marehemu

 Jamcoblogspot,com inaiombea familia kuwa na subira katika hiki kipindi kigumu cha kumpoteza mpendwa wenu.Datus Buberwa Nyamwihura.

No comments:

Post a Comment