Wednesday 16 April 2014

HII NDIO SARE YA UZINDUZI WA MBIO ZA MWENGE KITAIFA 2014 KWA WAKAZI WA MANISPAA YA BUKOBA

 Mwl Joyce Lobozi akimuonyesha mmoja wa wahitaji
 Muonekano wa Kitenge, kwa wanaume unashona shati la mikono mirefu, na wanawake unaweza kushona kadri upendavyo
 Mwl John Mugango akichukua Kitenge kwa ajili  ya kushona shati
 Kitenge kinapatikana kwa shilingi 12,000 tu, wasiliana na Mwalimu Joyce Lobozi
 Ma KEMI nae akiangalia kitenge
Bi Eveline Agricola ukifika Manispaa ya Bukoba kitengo cha store utamkuta na utajipatia maelezo kuhusiana na vitenge

No comments:

Post a Comment