Monday 21 October 2013

CATHERINE FOUNDATION YAZINDULIWA RASMI


 Mwemyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ambaye pia ni Mbunge wa viti Maalum UVCCM Arusha, Catherine Magige akizungumza wakati wa uzinduzi wa taasisi yake uliofanyika hivi karibuni jijini Arusha.

Catherine Foundation ni taasisi isyofungamana na upande wowote na inatoa huduma za kijamii kwa makundi mbalimbali yakiwapo ya Vijana, watoto na wanawake wajane
 Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angela Kairuki akizungumza wakati akizundua rasmi taasisi ya Catherine Foundation.
 Mbali na uzinduzi huo Catherine Foundation ilitoa msaada wa vitu mbalimbali kwa watu wenye uhitaji maalum.

No comments:

Post a Comment