Thursday 24 October 2013

RITA KUONGEZA IDADI YA WANANCHI WALIOSAJILIWA NA KUPATA VYETI VYA KUZALIWA NCHINI


Meneja Masoko na Mawasiliano toka Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini(RITA) Bw. Josephat Kimaro akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu mikakati ya wakala hao ya kuongeza idadi ya wananchi waliosajiliwa na kupata vyeti vya kuzaliwa nchini, wakati wa mkutano uliofanyika ukumbi wa Idara ya Habari(MAELEZO) leo Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Afisa Habari wa Idara ya Habari(MAELEZO) Bi.Georgina Misama.

Wakili wa Serikali toka Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) Bi.Patricia Mpuya akifafanua kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu maboresho ya sheria ya Usajili wa vizazi na Vifo itakayowezesha kusogeza huduma za upatikanaji vyeti vya kuzaliwa karibu na maeneo ya wananchi, wakati wa mkutano uliofanyika ukumbi wa Idara ya Habari(MAELEZO) leo Jijini Dar es Salaam
Picha na Eliphace Marwa-MAELEZO.

No comments:

Post a Comment