Sunday 20 October 2013

MKUU WA MKOA KAGERA KANAL FABIAN MASSAWE AZINDUA KITABU CHA MAISHA YA MZEE PIUS NGEZE BAADA YA MIAKA 70

mwonekano wa kitabu cha maisha ya mzee pius ngeze kilichozinduliwa na mkuu wa mkoa kagera kanal Fabian Massawe, kinapatikana kwenye maduka ya vitabu kwa shilingi kumi na nne elfu tu.
mzee galiatano na mkewe rafiki mkubwa wa mzee ngeze nae alishiriki hsafla ya kumpongeza

Padre Privatus Karugendo mwandishi wa kitabu cha maisha ya mzee ngeze katika kipindi cha miaka 70 akieleza kwa nini aliamua kuandika kitabu hiki  mbele ya mgeni rasmi na wageni waalikwa waliohidhulia hafla ya kumpongeza mzee ngeze
                   mkuu wa mkoa kagera akielezea jinsi alivyomjua na kumfahamu mzee pius ngeze
mkuu wa mkoa wa kagera kanal Fabian Massawe akizindua kitabu cha maisha ya mzee pius ngeze baada ya miaka 70.kitabu hiki kimeandikwa na Padre Privatus Karugendo kinachoelezea maisha ya mzee ngezi , kielimu, kikazi, kisiasa mpaka kustaafu kwake.
mtoto wa mzee piusi ngeze, willim ngeze akimshukuru baba yake kwa niaba ya wenzake kwa malezi bora na safi waliyopewa na wazazi wao kwa kuwasomesha na sasa ni watu wazima na wanashuhudia baba yao akitimiza miaka 70. wanampa sifa mungu na kumshukuru
                                                             mama kanati mgeni mwalikwa
                                                                               picha ya pamoja
mzee ngeze akimpokea prof Anna Tibaijuka waziri wa Ardhi,nyumba na maendeleo ya makazi akiingia katika ukumbi wa hafla lina's
                    mzee ngeze akieleza na kushukuru wageni walioudhuria hafla ya kumpongeza
                                                      familia ya mzee ngeze wakifurahia
Mzee Pius Ngeze na mke wake wakimlisha keki mtoto wao william Ngeze kwenye hafla ya kumpongeza mzee ngeze kutimiza miaka 70 iliyofanyika katika ukumbi wa lina's bukoba

No comments:

Post a Comment