Friday 7 June 2013

WAKATI WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU WAKIJIANDAA KUELEKEA KATIKA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI MH MBUGE WA JIMBO LA BUKOBA MJINI KAGASHEKI ATOA SWADAKA YA MISWALA KWA MISIKITI YOTE JIMBONI KWAKE




mh mbunge wa jimbo la bukoba mjini ametoa swadaka ya miswala katika misikiti yote katika jimbo lake  mh kagasheki katoa miswala hiyo kwa kutambua mahitaji makubwa ya miswala katika misikiti hiyo ili iweze kusaidia waumini wakati wa ibada,mapema mwezi wa saba waumini wa kiislamu duniani wataanza mfungo wa ramadhani,kwa hiyo ni imani ya mbunge kuwa kipindi hicho waumini wengi ufanya ibada zao ,hivyo miswala hii itasaidia.


                                 baadhi ya miswala ikiwa kwenye gari ikisambazwa  maeneo  tofauti


                                     msikiti wa kibuye kwa haji hamza

 kulia ashirafu kalumuna,ramadhani kambuga na haji hamza wakiwa maeneo ya msikiti wa kibuye,muda mchache kabla ya ujumbe kutoka ofisi ya mbunge kukabidhi miswala













                                                 miswala ikitandikwa















                             eneo la kiwanda cha kahawa cha amir hamza maeneo ya kibuye








                                               ni kupakua kwenye gari na kuweka msikitini






                                    ni msikiti wa kagondo



                                                   mmoja wapo ya miswala





                                                                            ni furaha tupu


                             ni zoezi la kutandika miswala kila msikiti jimbo la bukoba mjini






 mwenyezi mungu amzidishie balozi kagasheki,ni dua zilizotawala maeneo yote ya misikiti waliopokea miswala



                                             akina mama wakifurahia

















alhaji katema akishukuru uongozi kutoka ofisi ya mbunge kwa kuleta miswala msikiti wa kashenye kashai




 ni msikiti  ulioko maeneo ya mwalo wa kifungwa,msikiti huu hutumiwa na wavuvi wa eneo hilo


                               ni maeneo ya mwalo wa kifungwa ziwani noko walipata miswala











                                           msikiti ukiwa tayari umeshatandikwa miswala


                                               amina....,amina.... amina.....





waumini wa msikiti wa nyaishenye sekondari wa kiomba dua ya kushukuru na kumuombea mh kagasheki kwa kuwaletea miswala








                                   miswala ikitandikwa  katika moja wapo ya msikiti iliyopata miswala




                                          miswala akishushwa msikiti wa jafaries
mwenyekiti wa msikiti wa jafaries murtaza visram akipokea miswala kwa ajili ya waumini  wa msikiti wake,anaonekana akimsikiliza ashiraf kalumuna aliekabidhi miswala hiyo kwa niaba ya  ofisi ya mbunge jimbo la bukoba mjini

No comments:

Post a Comment