Saturday 4 April 2015

ALHAJ ADAM KYAMA AZIKWA NYUMBANI KANYIGO BUKOBA

Alhaj Adam Kyama amezikwa nyumbani kwake Kanyigo Kigarama na mamia ya waombolezaji waliojitokeza ,Marehemu Adam Kyama alifariki Ghafla kwenye  hospital ya Mkoa wa Kagera baada ya kupata shinikizo la damu na kupelekea kupoza upande mmoja wa mwili wake na kukimbizwa hospital na mauti kumkuta, Marehemu amestaafu utumishi wa umma mwaka 2012 baada ya kulitumikia taifa katika sekta mbalimbali serikalini.( Katika picha wa pili kulia ni shekhe mkuu wa Mkoa wa Kagera Haruna Kichwabuta akiwa na viongozi wengine wa dini.
Kushoto ni Bw Hamada Abdulnur Suleiman akiongea na wanafamilia wa marehemu.
Mjane wa maerehemu.
Mratibu wa shughuli nzima ya mazishi akitoa utaratibu.
Bw Taimul(kushoto) akiwa msibani.
Marehemu akiswaliwa.
Dua baada ya maerehemu kuswaliwa na kupelekwa kuzikwa.
Katikati bi Khadija suleiman akiwa na jamaa zake.
Innah lilah wainna lilah ihyajiun.

No comments:

Post a Comment