Saturday 4 April 2015

BW JULIUS RUGEMARILA ACHANGIA ZAIDI YA MILIONI 36 KATIKA KUUNGA MKONO WANANCHI KATIKA MIRADI YA MAENDELEO WILAYA YA MISSENYE .

 Bw Julius Rugemarila (mwenye suti nyeusi) akiwa na baadhi ya viongozi wakiwa katika moja ya maeneo katika jimbo la Nkenge akikagua na kujionea utekelezaji wa ilani ya ccm kaika maendeleo katika Jimbo la Nkenge,Bw Julius Rugemarila ambae ni Mjumbe wa mkutano mkuu Taifa wa ccm na mlezi wa uvccm wilaya ya Missenye amechangia vifaa kama saruji, matofali na pesa taslimu kwa ajili ya ujenzi wa madarasa, maabara na mambo mengine  vyenye thamani ya milioni 36,450.000 kwa ajili ya kusaidia wananchi kuwapunguzia kasi ya uchangiaji . Bw Julius alifanya ziara katika  jimbo la Nkenge hivi karibuni.
 Bw Julias akiongea na wananchi.
 Wananchi wakimsikiliza Bw Julius.
 Moja ya Darasa ambalo halijamaliziwa ujenzi.
 Bw Julius amesisitiza kuwa katika swala la maendeleo ya wananchi wa Nkenge kwake ni ajenda ya kudumu.
 Baadhi ya maeneo mahitaji yalikuwa ni saruji.
 Wananchi wakishuhudia.
 Maeneo mengine mahitaji ilikuwa ni matofali na saruji, bw Julius alikabidhi.
Bw Julius akiongea na wananchi mara baada ya kukamilisha ziara yake.

1 comment: