Thursday 5 February 2015

BI SOPHIA AHMAD ASHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA, KAMA HARUSI,SI MCHEZO.....

 Ilikuwa ni bonge la Birthday ya Bi Sophia Ahmad au Mrs Nuru Galiatano kama wanavyoonekana kwenye picha,Sherehe iliyosheheni  watu takribani  150 ilifanyika katika pande za Lake Hotel Bukoba na muonekano wake kuonekana kama harusi kutokana na maandalizi yake kuwa tofauti na birthday tulizozoea, Hongera Bi Sophia kwa kutimiza miaka kadhaa.
 Bi Sophia akiwa na mumewe wakitinga katika ukumbi wa tukio.
 Wakisalimia wageni.
 Mc Rutakwa akifanya yake.
 Mama Shukuru akikaribisha wageni.
 Keki.
 Mtoto akikata keki kwa mbali laazizi wake akishuhudia na kutabasamu.
 Bi shukuru akisaidia kuvikata vipande vidogo.
 Akamlisha mwanae.
 Karibuni keki.
 Akamtambulisha mume wake mbele ya kadamunasi iliyohudhuria.
 N mumewe akasalimia wageni.
 Ikakatwa keki maalumu ya miaka saba  ya ndoa yao.wanasema wahenga unaua ndege wawili kwa jiwe moja.
 Ikawa nilishe nikulishe tuonyeshe tunavyopendana, hakika ilikuwa poa sana.
 Cheers.
 Dah hii birthday si mchezo.
 Bi shukuru kitengo cha mipango na maandalizi yote ya shughuli hii.
 Babu Rweyemamu akitoa burudani.
 Wageni walitokelezea.
 Ni vijimambo tu katika shughuli.
 Wa mjini utawajua,hapa na soft drinks tu.
 Wewe picha zako ni nzuri, kauli ya mama shakira.
 Rangi adimu wanasema,
 Burudani.
 Kamati ikitoa zawadi.
 Mama Erick akitoa zawadi na wenzake.
 Wafanyakazi wenzake na mtoto alizaliwa wakileta zawadi,
 Mama hongera, ni mtoto akimpongeza  mama yake.
 Wa mama wakipata chakula.
Mawifi nao wakatoa zawadi na picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment