Thursday 5 February 2015

BARAKA KIZUGUTO ATUA TFF



Baraka Kizuguto sasa ndiye atakuwa msemaji wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).


Mara ya mwisho, Kizuguto alikuwa msemaji wa klabu ya Dar Young African.

Habari za uhakika kutoka ndani ya TFF, zimeeleza Kizuguto amewapiga kumbo zaidi ya wasemaji kumi kushinda nafasi hiyo.

Pamoja na kuwa na taaluma ya uandishi wa habari Kizuguto ni mtaalamu wa masuala ya website.

No comments:

Post a Comment