Sunday 25 January 2015

JE UMEWAHI KUFIKA FIOSMIMI HOTEL? KARIBU WAPO BUKOBA MJINI BARABARA YA KASHURA.

 Fiosmimi hotel iko maeneo ya barabara iendayo kashura,ni hotel nzuri iko kilimani ina mazingira mazuri na upepo mwanana kutoka ziwa victoria, unapokuwa umekaa utaweza kuangalia mandhari nzuri ya ukijani uliokolea na kwa mbali kisiwa cha Musira. Fiosmimi hotel inatoa huduma ya malazi, chakula na vinywaji, wanavyo vyumba vya single, double na sute, Pia wanao kumbi mzuri na wa kisasa kwa ajili ya  mikutano, semina, birthday nk. ukumbi unauwezo kwa kuchukua watu kati ya 90 - 100,Wanavyo vifaa vya kisasa kama projectors,Tv . Karibu Fiosmimi hotel kwa huduma bora.
 Unapokuwa Fiosmimi unapata upepo mzuri kutoka ziwa victoria.
 sehemu ya chakula.
 Wanatoa na huduma ya chakula.
 Vyuma vya Double.
 Mkurugenzi wa Fiosmimi hotel Lilian Lwakatare.
 Ni ukumbi wa kisasa wa mikutano.
 Ndani ya ukumbi wa mikutano.
 Mandhari ya nje ya Fiosmimi hotel,ni bwawa la samaki.
 Bwawa la samaki.
 Maeneo yake yanavutia sana.
 Jamco video production wakifanya mahojiano na msimamizi wa Fiosmimi hotel Bi  Tumaini Michael.
 Bi Tumaini Michael ni  bint makini na anaongea kwa kujiamini kwa huduma zinazotolewa Fiosmimi hotel.
Timu nzima ya uongozi na wafanyakazi wa Fiosmimi hotel.
 Huduma ya Internet inapatikana.
 Mkurugenzi akiwa ofisini.
Mkurugenzi akiwa na wafanyakazi wa hotel.

No comments:

Post a Comment