Friday 30 January 2015

BREAKING NEWS:DC MULEBA NA UJUMBE WAKE WAPOTEA NDANI YA ZIWA VICTORIA,BOTI YAO YAPIGWA DHORUBA

 
Habari zilizotufikia ni kwamba mkuu wa wilaya ya Muleba Lembrose Kipuyo(pichani) na ujumbe wake wamepotea na boti yao katika ziwa victoria baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiri nao kuelekea katika kisiwa cha goziba kujionea madhara ya dhoruba iliyokikumba kisiwa hicho kupoteza mwelekeo ambapo tangu waondoke muleba asubuhi hadi saa 3:00 usiku walikuwa hawajafika muleba,simu zao hazipatikani na wala hawajulikani walipo.

Vikosi mbalimbali vya serikali vipo ziwani kuwasaka.

Tunaendelea kufuatilia habari hii kwa undani baki nasi......

No comments:

Post a Comment