Friday 30 January 2015

DC WA MULEBA NA WENZAKE WASALIMIKA KATIKA DHORUBA WA UPEPO MKALI ZIWA VICTORIA.

Tunapenda kuwajulisha kuwa mkuu wa Wilaya Muleba Bw Lembrose Kipuyo na ujumbe aliokuwa nao walipatwa na dhoruba ya upepo mkali ziwa victoria wakiwa na mtumbwi wao wakielekea kwenye maafa yaliyotoke katika kisiwa cha Goziba, Mtumbwi wao umepatikana wakiwa salama, Na wameendelea na safari kwenda klisiwa cha Goziba kuangalia wahanga wa dhoruba ya upepo mkali uliosababisha uharibifu mkubwa katika kisiwa hicho.

No comments:

Post a Comment