Sunday 28 September 2014

MARAFIKI WAZIDI KUMTEMBELEA MH DAUDA KALUMUNA KUMJULIA HALI BUGANDO

 Kapten Mwasa akiwa hospital ya Bugando akiongea na mzee Kalumuna kuhusiana na maendeleo ya matibabu na afya yake kwa ujumla.
 Vijana maarufu wanaotambulika kwa jina la Kanyaga mafuta waliyakanyaga mpaka hospital ya Bugando kwenda kumjulia hali mzee Kalumuna hakika wahaya wanamsemo wao Bayoreka engozi za mazima.
 Wakiingia lango kuu la Bugando.
 Katika hali ya kuweka kumbukumbu sawa ikabidi  kanyaga mafuta washuhudishe vibao vya Bugando.
 USO KWA USO na Mzee Kalumuna,palikuwa hapatoshi mzee alipata nguvu ghafla.
 Wamezoea kumuita mzee wa CPA , Ilikuwa ni soga kwa kwenda mbele.
 Kulia ni Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi Geita Mh Maduhu,Mwenyekiti baraza la Ardhi Mkoa wa Kagera Renatus wakiwa na mzee Kalumuna Hospitalini Bugando.
Kuilia Bw Spidion Njunwa maarufu kama Obama  akiwa na mzee Kalumuna na Rehema Kalumuna.
Mzee Dauda Kalumuna akielezea maendeleo ya afya yake inavyozidi kuboreka kwa jamaa waliofika kumuona hospitalini Bugando.

No comments:

Post a Comment