Monday 29 September 2014

WADADA WAJASILIA MALI (SMALL DADA'S) WA JIJINI MWANZA WAKUTANA NA BALOZI KAGASHEKI

 Balozi Khamis Kagasheki akiongea na kundi la wadada wajasiliamali ambao wanapambana na wimbi la umasikini na kujishughulisha na shughuri za kibiashara,kusaidiana na kukopeshana.
 Katibu wa umoja Bi Frola Binamungu akieleza shughuri mbalimbali wanazozifanya,wa kwanza kulia ni mwenyekiti Bi Anita Zimbihile
 Balozi Kagasheki akimkabidhi mweka hazina wa kundi mchango wake  wa  kukubali kile kinachofanywa na umoja huu katika swala zima la kujikwamua kiuchumi.
Dada huyu aliomba kupiga picha na Balozi Kagasheki kwa kukubali utendaji wake wa kazi na kusimamia haki.

No comments:

Post a Comment