Monday 29 September 2014

MANISPAA YA BUKOBA HATARINI KUKUBWA NA MAFURIKO.

  

 Mvua zilizonyesha jana katika mji huo na viunga vingine mkoani Kagera, imesababisha nyumba kadhaa kuzingirwa na maji, ambapo sababu kubwa inachangiwa na kuziba kwa mitaro, mito, pamoja na ujenzi holela, hasa katika kujenga kado kando ya mto Kanoni, unaokatiza katika mji huo.
Ni eneo la Miembeni, mkabala na ukumbi wa Disco Linas.

Ni mkabala na CRDB, chini ya Baa ya Oxygen katikati ya mji.

Hapa ni katika paking ya bank CRDB
Kituo cha mfuta Camel barabara ya Kashozi nacho ndani ya maji.

Daraja katika barabara ya Kashozi liko eneo la Migera.

No comments:

Post a Comment