Wednesday 11 June 2014

WADAU WASHEREKEA USIKU WA NDOVU SPECIAL MALT ,SUPU ,NYAMA CHOMA KAMA KAWAIDA. TBL SI MCHEZOOO

 Ndani ya nyumba
 Hizi zote mpaka ziishe ,Ni maneno ya Rakson Kahabuka
 Na,maanisha Ndovu special malt,kijana Mwiiba na Rakson Kahabuka
 Nyama chomaaa
 kARIBU SUPU
 Bw Basibira na Mhandisi
 Karibu swaiba,leo hapa za kumwaga
 Bw SIYZA akiongea na wageni walioalikwa kwenye usiku wa Ndovu special malt
 Bw Slyvester Syza alipata wasaa wa kuagana na wadau anaamia Dar
 Ilikuwa Poa sana
 Handsome boy ndani ya nyumba
 Bw Juma akiongea na wadau
 Unasikiliza radha ya kitu Ndovu special malt
 Soma katika harakati na hasa wakati wa kagiza kidogo ni shidaaa
 super mkude
 Bety sambamba na Kaka Mkubwa
 Usiku wa Ndovu Special Malt
 Kitu Balimi

No comments:

Post a Comment