Sunday 23 March 2014

Picha 15 za harusi ya Paul wa P Square na Anita Isama

1Baada ya pacha wake kufunga ndoa, hivi sasa ni zamu ya Paul Okoye ambaye amefunga ndoa ya kimila na mchumba wake wa muda mrefu Anita Isama.
Paul na Anita wana mtoto wa kiume na harusi yao imehudhuriwa na watu kama Omotola,D Banj,Naeto C,Banky W,Ini Edo,Iyanya na wengine wengi.
Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye harusi hiyo.
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15

No comments:

Post a Comment