Monday 17 March 2014

MAKONDA WASIO-OGA NA KUNUKA KWA KUTOA HARUFU ,WAOGESHWA KWA LAZIMA HADHARANI ..JIONEE HAPA


Hii unaambiwa imetokea Kisumu Ndogo, Donholm nchini Kenya Ijumaa iliyopita. Makonda hao walilazimishwa kuoga hadharani kwa   kile kinachaodaiwa   kuwa  walikuwa  wananuka. Wateja wamekuwa wakilalamika kwamba makonda hawa
wananuka na hivyo kuathiri biashara. Makonda hao waliogeshwa huku wadau wakishushudia na kuhakishiwa usafi kwa makonda itakuwa ni swala la lazima.

No comments:

Post a Comment