Sunday 16 March 2014

CCM YAIBWAGA CHADEMA KALENGA,USHINDI WA ZAIDI YA ASILIMIA 70


Mashabiki wa CCM wakimbeba aliyekuwa mgombea wa CCM jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini Godfrey Mgimwa, baada ya kupata matokeo ya awali ya CCM kuongoza kata 11 kati ya kata zote13 katika matokeo ya awali yasiyo rasmi ya  uchaguzi uliofanyika leo. Shamrashamra hizo zilifanyika Ofisi ya CCM mkoa wa Iringa
Mashabiki wa CCM wakimwayamwaya kwa furaha baada ya kupata matokeo hayo ya awali

No comments:

Post a Comment