Saturday 22 March 2014

JESHI LA POLISI LAKABIDHIWA LAPTOP NA VIFAA VYA KITEKNOLOJIA KUKABILIANA NA UHALIFU


 Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum akimkabidhi laptop Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya Teknolojia, Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa baadhi ya Wizara, Idara na Taasisi za Serikali iliyofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Fedha.
 Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa akitoa maelezo mafupi juu ya Mpango wa Kuboresha na Kuimarisha Takwimu nchini wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya Teknolojia, Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa baadhi ya Wizara, Idara na Taasisi za Serikali iliyofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Fedha.
 Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum akihutubia wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya Teknolojia, Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa baadhi ya Wizara, Idara na Taasisi za Serikali iliyofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Fedha.
 Mwakilishi wa Wadau wa Maendeleo nchini Bw. Richard Martin akitoa maelezo mafupi kwa Wageni waalikwa (hawapo pichani)wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya Teknolojia, Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa baadhi ya Wizara, Idara na Taasisi za Serikali iliyofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Fedha.
 Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum (Mb) akikata utepe kuonesha baadhi ya vifaa vya TEHAMA vilivyokabidhiwa kwa baadhi Wizara, Idara na Taasisi za Serikali leo katika Ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Fedha.

No comments:

Post a Comment