Saturday 12 October 2013

KAGERA SUGAR 1 v YANGA 2, KAGERA WALA KICHAPO KAITABA,PAMOJA NA KUBADILISHA VIINGILIO UWANJA WAFURIKA


Kikosi cha Kagaera Sugar kilichoanza

Kikosi cha Yanga kilichoisambaratisha kagera na kuvunja  mazoea ya miaka miwili mfululizo ya kuifunga yanga katika uwanja wa kaitaba

Waamuzi wa mtanange huu

Waamuzi na Timu Kapteni wakiteta jambo muda mfupi kabla ya mpira kuanza

Benchi la Yanga kushoto ni Kocha mkuu

Benchi la Kagera Sugar

Dakika ya 2 Mpira ukirushwa kama kona na Kipa kuupangulia kwa adui na Hatimaye Mshambuliaji wa Yanga Mrisho Ngassa akafanikiwa kuipatia bao na hapa walikuwa wanashangilia bao hilo. Mpaka Mapunziko Yanga ilikuwa inaongoza kwa bao 1-0 dhidi ya Wenyeji Kagera Sugar. Habari na www.bukobasports.com

Wachezaji wa Yanga wakishangilia Baada ya kupata bao kupitia kwa Mrisho Ngassa

Kama Kawaida Yanga wanapofunga kufurahia kwa aina hii si ajabu

Raha ya Ushindi..jamani..

Asante Ngassa

Chukua tano kwanza ....Asante!!

Patashika Uwanjani..
Baadhi ya Mashabiki waliojitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Kaitaba.Pamoja na viingilio kubadilishwa dakika za mwisho kutoka 5000 jukwaa kuu na 3000 mzunguko na kuwa 10.000 jukwaa kuu na 5000 mzunguko watu wamefurika kwa wingi kushuhudia mpambano huo.
Kipindi cha pili dakika ya 49 Godfrey Wambura akaisawazishia bao timu yake na kufanya 1-1 na mtanange Kuchangamka sana kuliko kipindi cha kwanza..
Dakika ya 60 Hamis Kiiza akaiongezea bao Yanga na kufanya 2-1 Dhidi ya Wenyeji Kagera Sugar.

No comments:

Post a Comment