Thursday 27 June 2013

WAANDISHI WA HABARI WAWEKA KAMBI KARIBU NA HOSPITALI ALIKOLAZWA NELSON MANDELA



Rais mstaafu wa Afrika Kusini NELSON MANDERA bado anahali mbaya ingawa bado madaktari yana pigania uhai wake baada ya afya yake kuzorota mwishoni mwa wiki......Richa ya hivyo imeonekana kuwa watu wamepoteza matumaini na kujiandaa kwa loloye ambolo linaweza kutokea mda wowote.
Waandishi na vyombo vya habari viko karibu kabisa na hospitali hiyo kusubiri lolote litakalotokea .

No comments:

Post a Comment