Sunday 9 June 2013

KWA HALI ISIYO YA KAWAIDA MWANAMKE AJIKUTA SEHEMU ZAKE ZA SIRI HAZIPO BAADA YA KUMUIBIA MWANAUME ALIEKUWA NAE GESTI

 Mama huyu akiwa hajielewi kwa kile kilichompata,baada ya kula uroda na mwanaume katika nyumba ya wageni ya super star hamugembe alitoweka na pesa za mwanaume huyo ambae inasemekana ni mkazi wa kigoma,baada ya muda mama huyu alijikuta hana sehemu zake za siri

 mama alipoteza sehemu zake za siri kwa mujibu wa maelezo yake anamtafuta mwanaume ambae inasemekana ni mkazi wa kigoma amrudishie sehemu zake za siri
 umati mkubwa wa watu walifurika maeneo ya stand kuu bukoba kushuhudia tukio la aina yake

                                                duniani kuna majanga na hili janga

                                               masikini mama wa watu hana tena sehemu zake nyeti

 umati mkubwa uliokuja kumshuhudia mama aliepoteza sehemu zake za siri,baada ya kumuibia mwanaume
                                      umati ulikuja kumuona mama alipoteza sehemu zake za siri

 baada ya umati kuwa mkubwa police walifika maeneo ya tukio na kumchukua huyo mama,tunafanya jitihada za kumpata msemaji wa jeshi la police,na ikibidi taarifa rasmi ya daktari
                                                             ni stand kuu bukoba leo
                                                                msomaji kuna mengi ya kujifunza hapa

                                    panda mama tukifika huko tutajua zipo au zimetoweka...
                                                            majanga jamani ......       
                                          mama alipoteza sehemu za siri akipelekwa polisi

No comments:

Post a Comment