Tuesday 11 June 2013

ASKOFU MKUU WA AUTHODOX JIMBO KUU TAKATIFU LA MWANZA JERONYMOS MUZEEYI AWAASA WANAFUNZI WA KITUO CHA MUJUNGU ACADEMIC CENTRE KUSOMA KWA BIDII



 Askofu mkuu Jeronymos Muzeeyi jimbo kuu takatifu la mwanza amewaasa wanafunzi  wa kituo cha mujungu academic centre kilichoko kata ya kagondo kusoma kwa bidii,ili elimu watakayoipata hapo iweze kuwasaidia katika maisha yao,wanafunzi zaidi ya tisini kutoka katika shule mbalimbali za sekondari ambazo zimefunga wapo hapo shuleni wakiendelea na masoma katika kipindi chote cha likizo,kituo hiki kinafundisha masoma ya sayansi,arts na kilimo


           wanafunzi wa kituo cha mujungu academic centre wakimsikiliza  askofu mkuu



baadhi ya madarasa ya kituo



                                                   askofu akiendesha ibada rasmi ya kuzindua kituo






                                                                 wanafunzi wakiimba wimbo


                                   askofu mkuu alitoa zawadi ya vitabu ili wanafunzi wajifunze




askofu pia alitoa zawadi ya madaftari na kalamu kwa wanafunzi wote,na kulia ni mkuu wa kituo johnstone richard mujungu






                                             kituo hiki wapo wanafunzi wa bweni na wanafunzi wa kutwa
                                     wanafunzi wakipokea zawadi ya dafrari na kalamu kutoka kwa askofu






                                                               someni vitabu...



                                            baba askofu tunaomba utuzindulie

                             baba askofu akizindua rasmi majengo ya kituo cha mujungu academic centre











 mmiliki wa libeneke la jamcobukoba.blogspot.com akiwa katika picha ya pomoja na askofu na mkuu wa kituo akifurahi sana








                                             ni tank kubwa la maji linalojengwa kituoni hapo



No comments:

Post a Comment