Tuesday 17 February 2015

VALENTINE DAY ILIKUWA POA KIWANJA CHA LINA'S.BARNABA BOY NA AMIN WARIBURUDISHA WATU WAKAPENDANA.

 
 Ni washindi wa zawadi katika kundi la familia,hakika walipendeza na muda wote mezani walionyesha kutulia na kuongea kwa karibu, na simu zao hawakuwanazo kabisa,ni moja ya tatizo kubwa liliwakumba wana ndoa siku hiyo walionekana busy na whassap na kushindwa  kuka uli mkao wa bwana na bibi,hivyo kwa hawa vigezo jaj aliridhika navyo.

 Kulia ni muandaaji wa shughuri nzima Regina Muganyizi kutoka Zachwa investment akiwa na Bw Jerry kutoka Shemeji Investmet walioshirikiana kuandaa.
 Ni kifamilia zaidi.
 Bw Nyamoni na mkewe bi Enjoey wakiongea.
 Kijana Alpha katika pozz.
 Ni  katika lile red capet kwa ajili ya picha za kumbukumbu,lililoandaliwa na Nyumbani studio.
 Mkurugenzi wa Zachwa Investment Bw Muganyizi.
 Ni siku ambayo mwenzi wako umvuta karibu, na wengine upata faraja ya kuwa na wepenzi wao hadharani mara moja kwa mwaka.
 Lakini pia siku hii marafiki upata nafasi ya kukutana na kuongea na kuonyeshana upendo.
 Na wengine uvaa nguo nzuri na kupendeza.
 Na mikao huwa tofauti na siku zingine.
 Barnaba boy akicharaza gita live, ilikuwa poa sana.

 Amin na Barnaba wakifanya yao.
 Kijana sambamba na mamaa.
 Hapo sasa,mie nimefika huko wapi mpaka saa hizi.
 Hii ipo poa.
 Bi Lydia anaeishi  sweden akicheka na camera yetu sambamba na Bw Nico.
 Mahaba niuweee....
 Mtoto wa Jinzi katulia mwenyewe hataki mambo mengi.
 Nilishe nikulishe,hii mpaka mwakani tena utakutana nayo.
 Bw Avit na mkewe ilikuwa ni shidaaaa.
 Bw na Bi Chakindo,wakipeana vitu adimu.
 Hawa kweli walistaili kuwa washindi.
 Jerry na pacha wake Aman katika stage.
 Bw Bube Jaji , aliekuwa makini kuhakikisha vigezo na mashariti vinazingatiwa.
 Dada alieshinda zawadi ya single lady,
 Akiwa na Jaji baada ya ushindi
 Sued Kagasheki, mzee wa baltika.

 Anamaanisha peace  & Love.

 Mama Nice na single lady.

 Siku hiyo unawekewa kinywaji.

Ilikuwa poa sana Hongera sana Zachwa Investment na shemeji investment kwa kufanikisha.

No comments:

Post a Comment