Tuesday 2 September 2014

NI BAADA YA MAMBO KUNOGA SIKU YA KUVUNJA KAMATI YA SEND OFF YA LYDIA PROTAS BUSIMBE KITENDAGURO

 Mama huyu baada ya mzuka kumpanda alimwaga radhi kwa kuonyesha furaha yake na kukubari kile  kilichoandaliwa na Familia ya marehemu  Mzee Protas na Bi Bertha Peter wa Busimbe kwa ajiri ya kuwashukuru wajumbe walioandaa Send off ya kumuaga Bi  Lyidia Protas iliyofanyika siku ya  30-8-2014 katika ukumbi wa Lina's.
 Majirani
 Wajumbe wa kamati
 Nyama choma
 Bi Lydia akisalimia wajumbe mbalimbali na kuwapa mkono.
 Wageni kutoka ukweni kwa mme walialikwa pia
 Bw Victor nae alialikwa ukweni
 Watu wakaserebuka kwa raha zao
 Bw Joel nae akipata nyama choma
 Vinywaji vya kila aina vilikuwepo na kalinyaaa ilikuwepo.
 Mama Matungwa akiwa na Jamco wakifurahia kitu
 Watu kadri muda ulivyokwenda waliwaalika na wengine walio majumbani waje
 Ukafika wakati wa msosi
 Hii kweli ilikuwa vunja kamati ya aina yake
 Vunja kamati
Cheza ngoma
 Kwaito vunja kamati hiyooo
 Kwa raha zao
 Hupo hapooo
 Kila staili katika vunja kamati
 Na huyu nae akatokelezea ki hivi vunja kamati
Hakika watu walicheza ngoma,Vunja kamati ya aina yake.

No comments:

Post a Comment