Wednesday 4 June 2014

KITUO CHA MWENGE CHAENDELEA KUBOMOLEWA, ABIRIA WASOTA KUKOSA USAFIRI ASUBUHI





Vijana wakiendelea kubomoa Kituo cha Daladala cha Mwenge...
 
Abiria wakitembea kwa miguu asubuhi ya leo kwa kukosa usafiri kama walivyozoea katika kituo cha Mwenge....
 Muonekano baada ya kubomolewa mabanda kibao yaliyokuwa yakikizunguka kituo hicho.
 Zoezi likiendelea...
Ubomoaji ukiendelea....

No comments:

Post a Comment