Friday 30 May 2014

CAMERA YETU MKOA WA GEITA NA SENGEREMA

 Umeshawahi kupanda kivuko ..... hebu jaribu siku moja utafurahia...
 Bushira akiwa mitaa ya Geita
 Stand ya Mabasi Geita
 Hiyo ndo Geita
 Ni moja ya Hotel kubwa Mkoani Geita
 Mkoa wa Geita unakua kwa kasi kubwa sana, na watu wanawekeza vitu vikubwa
 Moja ya shule  iliyoko Mkoa wa Geita
 Ni abiria wanaotoka Mwanza wakivuka kuelekea Geita,Bukoba nk.
 Hakika Tanzania tuna Neema na maeneo mazuri ya kupendeza
Baadhi ya abiria wakiwa kwenye kivuko
 Sikuweza kupata mwenyeji kunieleza msalaba huo kati jiwe unamanisha nini,ni maeneo ya sengerema
Ni muonekano wa mawe mazuri,maeneo ya Sengerema

No comments:

Post a Comment