Friday 25 April 2014

MWILI WA MAREHEMU DATUS BUBERWA NYAMWIHURA WAWASILI KIJIJINI KWAO MBALE BUKOBA NA KUZIKWA 26-4-2014 JUMAMOSI


 Ni vilio na majonzi makubwa  vyote kwa pamoja vilitawala katika kijiji cha Mbale Bukoba  baada ya mwili wa marehemu Datus Nyamwihura kuwasili kutokea jijini Dar es salaam
 Mzee Masabara na wanae wakiwa maeneo ya Rwamishenye Bukoba wakisubiri Gari linalokuja na mwili wa marehemu
 Mwili wa marehemu ukiwasili Bukoba mjini
 Bw Rahimu nae alikuwa miongoni mwa watu waliokuwa wakisubiri mwili wa marehemu maeneo ya Rwamishenye
 Hapa ndio nyumbani kwao na marehemu
 Wakazi wa kijiji cha Mbale
 Poleni jamani, Dada Passy Kazimoto akiwapa pole wanafamilia
 Machunguuu
 Ndugu , jamaa na marafiki wakipokea mwili kijijini
 Ni majonzi na simanzi
 Fransics Mutungi akaongoza misa ya shukrani kwa kufikisha mwili salama
 Mzee Damwel Ruangisa akimpa pole Bw Chichi kaka wa marehemu
 Murungi Kichwabuta nae akitoa pole
 Wazee waliokuja na mwili
 Wakipata chakula cha usiku kilichoandaliwa na Mama Shamila
Bw Chichi akiwa na swaiba wake,ambae alifika muda mchache baada ya kuwasili kijijni

No comments:

Post a Comment