Tuesday 4 March 2014

BW WILSON NA BI ELIZABERTY WASAINI MKATABA WA KUISHI KATIKA RAHA NA SHIDA

 Bw na Bibi Wilson Mchunguzi wakiwa ufukweni
 Maubili ya ndoa yakiendelea kanisani
 Sasa ni mume na mke kwa raha zaoooooo
 Pendeza sanaaaaa
 Tunaendesha wenyewe
 Kijana Kahabuka, ukumbini,Bukoba club
 Mc Jerry akiwaelekeza wazazi waingie ukumbini
 Ukumbi ulipendeza sana
 Vijana watanashati wakiingia ukumbini kwa kucheza
 Karibu keki
 Zawadi
 Kamati ikileta zawadi
 Wadada pekee kwenye kamati nzima
 Noti za kutosha kamati ilitoa
 Zikiokotwa na kuhesabiwa
 Kijana akimwaga radhi na chupa yake mkononi.....
 Chakula ni kitamu
 Ma Mc Aman na Jerry
 Mdogo mtu akicheza na bi Harusi
Jamcobukoba.blogspot.com tunawatakia maisha ya upendo, amani katika ndoa yenu

No comments:

Post a Comment