Thursday 21 November 2013

WASHIRIKI WA TANZANIA TOP MODEL KUPIGA KAMBI GIRAFFE OCEAN VIEW HOTEL


 Mkurugenzi Tanzania Top model Ysufu George akiongea na wanahabari kuhusu ujio wa kuweka kambi ya siku 17 ya wanamitindo hao katika Hoteli ya Giraffe ocean view iliyomo Frikana jijini Dar.
 Wanamitindo wakiwasili leo mapema Giraffe Ocean View Hotel wakitokea Tamar Hotel walikokuwa wameweka kambi ya siku mbili baada ya kutokea hotel ja Jb Bekmont.
Giraffe ocean View Hotel ,hoteli yenye hadhi ya nyota nne,karibu Giraffe upate huduma zilizo sawa na thamani ya pesa zako,inasifika kwa ukarimu uliopita kiwango.

No comments:

Post a Comment