Friday 22 November 2013

JENGO LA RAS KAGERA LINALOTUMIWA NA BARAZA LA ARDHI NA NYUMBA BUKOBA LAFANYIWA UKARABATI

 Mwenyekiti wa baraza la Ardhi na nyumba bukoba mh Renatus Leonard Chenya , amesema jengo la Ras Kagera linalotumiwa na Baraza la Ardhi na nyumba kwa ajili kutatua kesi na migogoro mbalimbali inayohusu Ardhi na nyumba linafanyiwa ukarabati na wizara ya Ardhi, nyumba na makazi kwa kusimamiwa na  National Housing and Building Research Agency(NHBRA) katika kuboresha huduma za jamii, Bw Renatus ameeleza pia ukarabati huu umeshafanyika katika baadhi ya wilaya mkoani kagera zikiwemo za  Muleba,Karagwe na Ngara.
                                          Muonekano sehemu ya mbele
                              Sehemu ya mbele ya  Balaza la Ardhi na Nyumba Bukoba
                                                                     Ukarabati unaendelea
                                                         Muonekano sehemu ya nyuma
                                 Jengo hili linalofanyiwa ukarabati,limejengwa kipindi cha mkoloni

No comments:

Post a Comment