Saturday 23 November 2013

BALOZI KAGASHEKI MGENI RASMI MAHAFARI YA KWANZA DARASA LA SABA QUDUS ISLAMIC PRE & PRIMARY SCHOOL, ACHANGIA MILIONI KUMI KUKAMILISHA UJENZI WA CHUMBA CHA KIDATO CHA KWANZA

 Balozi khamis kagasheki akiongea na wazazi na wanafunzi katika mahafali ya kwanza darasa la saba,shule ya Qudus Islamic imekuwa ya tatu kiwilaya katika mtihani wa darasa la saba 2013,ya nane kimkoa na ya 15 kitaifa kati ya shule 915 za msingi Tanzania,Balozi kagasheki  amewachangia milioni 10 kukamilisha ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa ili mwakani wanafunzi waweze kujiunga na kidato cha kwanza
                                      Akina mama walio katika kamati ya ujenzi ya shule
 Balozi kagasheki akipelekwa kuona ujenzi wa bweni la kulala wanafunzi aliloweka jiwe la msingi na kulichangia milioni ishirini na tano ili wakamilishe ujenzi
Hili ndio bweni ambalo siku chache  za nyuma Balozi kagasheki alilichangia milioni 25 ,linaendelea vizuri

 Na hivi ni vyumba vya madarasa kwa ajili ya kidato cha kwanza mwakani ambavyo  Balozi amechangia milioni  10 vikamiliki
                                       Balozi kagasheki akiwa na uongozi wa shule
                                                                             wanafunzi
                                                                    wanafunzi
                                                       wahitimu darasa la saba wakike
                                                       wahitimu darasa la saba wakiume
                                            Wazazi wakimsikiliza mgeni rasmi
 Balozi kagasheki amewataka wazazi kuwapa watoto elimu kwa msingi mzuri wa maisha yao hapo badae
                                                     Wazazi wakimsililiza mgeni rasmi

No comments:

Post a Comment