Friday 4 October 2013

RAIS JAKAYA KIKWETE AZINDUA RASMI KIWANDA CHA BAKHRESA FOOD PRODUCTS LTD




Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa SSB Group, Said Salim Bakhresa alipofika kwenye kiwanda hicho, eneo la Mwandege katika mkoa wa Pwani leo, kwa ajili ya kukifungua rasmi. Katikati ni Mama salma Kikwete
Rais Kikwete akiwasalimia baadhi ya viongozi wa kampuni hiyo. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Pwani, Hajjat, Mwantum Mahiza.
 Rais Jakaya Kikwete akimsikiliza Said Salim Bakhresa (kulia) wakati akitoa ufafanuzi kuhusu kiwanda chake hicho kinavyopambana ana hasara inayosababishwa na kutokuwa na umeme wa Tanesco
 Mazungumzo yakiendelea kwenye ukumbi wa kiwanda hicho
 Rais Kikwete akitazama baadhi ya bidhaa za 'Malt' za kiwanda hicho
 "Naam. bidhaa hizi ni Bora", akasema Rais Kikwete
 Rais Kikwete akieleza haja ya Tanesco kuwekeza huduma zake kwenye kiwanda hicho ili kupata fedha kwa manufaa ya Shirika hilo la Umeme
 Rais Kikwete na mwenyeji wake Saidi Bakhresa wakitoka kwenye mazungumzo tayari kwa ajili ya Rais kutembelea maeneo mbalimbali ya uzalishaji kiwandani hapo
 "Unaona hukooo"  Bakhresa akimuonyesha kitu Rais Kikwete katika eneo la uzaloishaji vinywaji vya Azam Malt.




 Bidshaa zenyewe ndizo hizo....
 Rais akipata maelezo kutoka kwa mtaalam katika chumba cha maabara ya kiwanda hicho
 "tunafanya hivi halafu hivi.... kujidhirisha kuwa bidhaa ni bora anasema mtaalam

No comments:

Post a Comment