Sunday 28 July 2013

RAIS KIKWETE ATUA WILAYANI MULEBA


Vikundi vya ngoma vikitumbuiza wageni.

Wananchi wa Muleba wakimshangilia Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili wilayani humo akiwa katika ziara yake ya siku sita Mkoani Kagera

Rais Kikwete akivikwa skafu na skauti baada ya kuwasili Muleba

Rais Kikwete akisalimiana na mama wa Profesa Anna Tibaijuka

Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka akishiriki katika ngoma ya utamaduni wakati wa mapokezi ya Rais Kikwete wilayani Muleba

Rais Kikwete akiongea na viongozi wa wilaya ya Muleba baada ya kupokea taarifa ya maendeleo, akiwa na mawaziri watano anaoongozana nao katika ziara hiyo

Mbunge wa Muleba akitoa maoni na kero za jimbo lake

Waziri wa Uchukuzi Dkt Harrison Mwakyembe akiwahakikishia viongozi wa Muleba juu ya mipango ya serikali kuleta meli za abiria mpya mbili katika ziwa Victoria

Rais Kikwete akipata maelezo ya mpango kabambe wa maji wilaya ya Muleba

Rais Kikwete akizindua mradi mkubwa wa maji wilayani Muleba

Ngoma ya utamaduni ikimlaki Rais Kikwete alipowasili katika mkutano wa hadhara

Rais Kikwete akisalimia wananchi

Rais Kikwete akiangalia mazao yatokanayo na uzalishaji mbegu ya kampuni ya Itente ya Muleba

Rais Kikwete akipozi na wafanyakazi wa kampuni ya uzalishaji mbegu ya Itente

Rais Kikwete akifurahia ngoma

Umati wa wananchi Muleba ukimsikiliza Rais Kikwete

Rais Kikwete akiongea na wananchi wa Muleba

Rais Kikwete akihutubia wana Muleba

Sehemu ya umati mkutanoni

Rais Kikwete akiendelea kungea na wananchi

Umati katika mkutano wa hadhara

Umati katika mkutano wa hadhara

Rais Kikwete akijiunga na waumini wa Muleba kusali swala ya Magharibi kabla ya kufuturu

Dua ikisomwa baada ya futari aliyoandaa Rais Kikwete kwa wananchi wa Muleba

Dua ikiombwa baada ya futari

Dua

Wananchi wa Muleba katika futari aliyoandaa Rais Kikwete wilayani Muleba

No comments:

Post a Comment