Thursday 1 August 2013

WAZIRI MKUU WA THAILAND AONDOKA BAADA YA KUHITIMISHA ZIARA YAKE NCHINI



 Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinwatra akipeana mikono na Meya wa Jiji la Dar es salaam Mstahiki Dkt Didas Masaburi wakati wa kuondoka kurejea nyumbani baada ya kuhitimisha kwa mafanikio makubwa ziara rasmi ya siku tatu hapa nchini Agosti 1, 2013.
 Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinwatra akipeana mikono na Mwenyekiti wa CCM wa Dar es salaam Ndugu Madabida Masaburi wakati wa kuondoka kurejea nyumbani baada ya kuhitimisha kwa mafanikio makubwa ziara rasmi ya siku tatu hapa nchini  Agosti 1, 2013.
 Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinwatra akipeana mikono na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu ( Uwekezaji na Uwezeshaji), Dkt. Mary Nagu wakati wa kuondoka kurejea nyumbani baada ya kuhitimisha kwa mafanikio makubwa ziara rasmi ya siku tatu hapa nchini Agosti 1, 2013.
 Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinwatra akipeana mikono na waziri wa maliasili na utalii balozi khamis kagasheki  wakati wa kuondoka kurejea nyumbani baada ya kuhitimisha kwa mafanikio makubwa ziara rasmi ya siku tatu hapa nchini Agosti 1, 2013.
 Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinwatra akipeana mikono na Mkuu wa Mkoa wa  Dar es salaam Mhe Saidi Meck Sadick  wakati wa kuondoka kurejea nyumbani baada ya kuhitimisha kwa mafanikio makubwa ziara rasmi ya siku tatu hapa nchini Agosti 1, 2013.
Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinwatra akipeana mikono na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange wakati wa kuondoka kurejea nyumbani baada ya kuhitimisha kwa mafanikio makubwa ziara rasmi ya siku tatu hapa nchini Agosti 1, 2013.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na  Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinwatra wakati wa kuondoka kurejea nyumbani kwa mgeni wake huyo baada ya kuhitimisha kwa mafanikio makubwa ziara rasmi ya siku tatu hapa nchini Agosti 1, 2013.
 Wasanii wakishangilia wakati ndege iliyomchukua Waziri Mkuu wa Thailand Mhe Yingluck Shinwatra ikipaa wakati wa kuondoka kurejea nyumbani kwa mgeni huyo baada ya kuhitimisha kwa mafanikio makubwa ziara rasmi ya siku tatu hapa nchini Agosti 1, 2013.

No comments:

Post a Comment