Monday 10 July 2017

KARIBUNI KWENYE MJUBURO(KITCHEN PARTY) YA JARIA EMIRY MNYONGE ,UKUMBI WA LINA'S 16-7-2017 JUMAPILI SAA TISA ALASILI.

 Hidaya Mnyonge, maarufu( mama Achi) anawakaribisha akina mama wote, wadada,wabibi kutoka maeneo yote ,siku ya tarehe 16-7-2017 Jumapili, kuanzia saa tisa alasiri kwenye ukumbi wa Lina's kwenye Mjuburo (Kitchen party) ya mtoto wake Jaria Mnyonge, , Mc kutoka jijini Mwanza aliebobea katika maswala ya mafundisho ya akina mama (Mama  Stivin)atatoa somo na kurudisha upendo na mapenzi katika mahusiano yako na mmeo, mpenzi nk, hii si yakukosa.Mama Achi anawakaribisha woteeeee.
Bi Jaria Mnyonge

No comments:

Post a Comment