Monday 10 July 2017

HONGERA EVODIUS RUGEIYAMU NA AGNETHA EVODIUS KWA KUFUNGA PINGU ZA MAISHA.

 Maandiko matakatifu yanasema mwanamke utamuacha baba na mama yako utaambatana na mmeo, maandiko haya matakatifu Bi Agnetha ameyatimiza mapema wiki mbili zilizopita, baada ya kutamka bila chenga mbele ya waumini, ndugu, jamaa na marafiki waliojitokeza kushuudia ibada takatifu ya ndoa yake na Bw EVODIUS RUGEIYAMU katika kanisa katoliki la Cathedral Bukoba Mjini, na badae bonge la party katika ukumbi wa Bukoba club.
 Baba harus Bw Rugeiyamu akiwa kanisani.

 Wakila kiapo.
 Tarumbeta.
Hongereni sana maharusi.

No comments:

Post a Comment