Wednesday 11 November 2015

CAMERA YETU MTAANI,BUKOBA

 Ni muonekano wa NMB Bukoba baada ya kufanya ukarabati wa ndani na nje.
 Duka la nguo la Gsmart.
 Mmiliki wa Gsmart, wauzaji wa nguo za kisasa za kiume na kike, viatu,urembo nk.
 Kituo cha kuuza mafuta yasiochakachuriwa, yenye ubora na viwango vinavyotakiwa,kipo Jamhuri road mkabala na jengo la NMB Bukoba.
 Duka la nguo za kiume, kike na watoto, lipo barabara ya Hindu hospital, Khadija Fashion.
 Jengo la wakaguzi wa mahesabu vyama vya ushirika linaendelea kukarabatiwa, mkabala na  kituo cha polisi Bukoba.
 Waandishi wa habari wakiyasaka matukio mtaani .
 Kataba inazidi kumeremeta.
Kaitaba kama ulaya.

No comments:

Post a Comment