Sunday 19 July 2015

KAGASHEKI ARUDISHA FOMU ZA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA BUKOBA MJINI.

e
 Mbunge wa jimbo la Bukoba mjini Balozi Khamis Sued Kagasheki anaemaliza muda wake
 Wanachama wakimpungia Balozi Kagasheki.
 Balozi Kagasheki akiongea na wanachama.
 Wanaccm waliojitokeza kumsindikiza Balozi Kagasheki kurudisha fomu.
 Mwenyekiti wa kata ya Bilele Taofiq sharifu akitoa msimamo wa bilele.
 Katibu wa kata ya hamugembe  bw Hamza akieleze msimamo wa kata ya Hamugembe.
 Balozi Kagasheki akisaini kitabu cha uthibitisho wa kurudisha fomu.
Balozi Kagasheki akizungumza  na wanachama wa ccm na wapenzi waliomsindikiza kurudisha fomu.

No comments:

Post a Comment