Saturday 18 April 2015

DECEMBER BUKOBA HUWA NI HEKAHEKA , UNAIKUMBUKA HII.

 Ben Mulokozi, Ben Mulokozi, ni maneno  ya waimbaji wa malaika  band,kadri unavyoimba  na kurudia bila kujari ni mara ngapi  unapokea  noti nyekundu zisizonaidadi, matukio kama haya  hutokea mwezi wa kumi na mbili , Imekuwa ni desturi ya wahaya wengi kuja nyumbani kupumzika kuwaona ndugu na jamaa na kusherekea x -mas na mwaka mpya, hii ilikuwa ndani ya  Lina's.
 Shamila, mama wa mirindimo wa Kasibante redio akiwa na Richard .
 Mr Jamal na mkewe Mainda, nao wakivinjari ndani ya Lina's.
 Rahim Kabyemela sambamba na Ben Mulokozi.
 Justuce Rugaibula akiwa na Ben Kataruga.
 Christian Bella akifanya vitu vyake jukwaani.
 Kijana Jerry.
 Wa kicheka na camera yetu.
 Mama Adve akiwa na familia.
Ni moja ya matukio ya mwezi wa December 2014, FULL SHANGWE.

No comments:

Post a Comment